Shirika la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) - ABNA - Darsa la Akhlaq na Maadili ya Kiislamu linaendelea kila siku asubuhi katika Chuo cha Jamiat al-Mustafa (s) - Dar-es-Salam likibeba anuani ya Subhi ya Kimaanawi / Kiroho. Mwanadamu anatakiwa daima kuishi maisha ya kiroho. Maisha hayo ya kiroho, ndio maisha bora na yaliyojaa kuridhika na ukaribu kwa Mfalme Mwenye Uwezo, Mola wa Walimwengu wote.

17 Aprili 2025 - 21:08

Habari Pichani | Darsa la Subhi ya Kiroho | Jamiat Al-Mustafa (S), Dar - Es- Salam - Tanzania

Your Comment

You are replying to: .
captcha